Watu wenye ualbino Afrika Mashariki, na hasa nchini Tanzania, wanakutana na changamoto kubwa za kijamii, kisiasa na kiuchumi. Vilevile, wanakumbana na unyanyapaa, ubaguzi, na vitendo vya kikatili ...
KATIKA sehemu ya kwanza ya ripoti hii, ilielezwa utiririshaji wa vinyesi kwa watu waishio milimani nyakati za mvua unavyohatarisha maisha ya wakazi wa Jiji la Mwanza. Sehemu hii ya pili, inabainisha ...
Baadhi ya watumishi wa umma katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wakifanya mazoezi ya viungo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya hiari ya mazoezi kwa watumishi wa umma itakayokuwa ikifanyika kila ...
MBIO za uchaguzi CHADEMA, zimefikia ukingoni Tundu Lissu ndiye Mwenyekiti Taifa na sasa anapanda daraja kutoka makamu na kuwa ...
WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili, Christina Shusho na Ambwene Mwasongwe ni kati ya wasanii watakaolipamba tamasha la Mkono wa Bwana.
Yanga imewafuta machozi mashabiki wake ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao ...
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC) imeiagiza Rwanda kufunga shughuli zake zote za kidiplomasia na kibalozi nchini humo ndani ya saa 48. Hatua hiyo ...
KIKOSI cha Yanga leo Jumamosi kinaanza rasmi harakati za kutetea ubingwa wa Kombe la Shirikisho la TFF wakati ...
DAR ES SALAAM; MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema mpango wa kufanya biashara kwa saa 24 kwenye eneo la Kariakoo, Dar es Salaam, upo mbioni kuanza akisema kinachosubiriwa ni taarifa ya ...